Agnes Masogange Ana kesi ya kujibu

Thursday, 31 August 2017

Agnes Masogange Ana kesi ya kujibu

tangazo hapa

Masogange Ana kesi ya kujibu kuhusu utumiaji wa dawa za kulevya.
Mahakama ya mkazi kisutu imesema kuwa Video vixen,Agnes Gerald anayo kesi ya kujibu kwa kudaiwa kutumia dawa za kulevya hivyo anapaswa kujitetea.Kesi imeunguluma mbele ya hakimu Mkazi mkuu ,Wilbard Mashauri. Kesi imeahirishwa hadi oktoba 12 Mwaka huu mtuhumiwa ataanza kujitetea.

tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top