tangazo hapa
Wema Sepetu
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini DSM ,imekataa kupokea vielelezo vya ushaidi wa msokoto vipisi viwili vya bangi vilivyotolewa na upande wa mashtaka.
Hakimu mkazi mkuu ,Thomas Simba amesema mahakama haiwezi kupokea vielelezo hivyo kwasababu vina kasoro."Nakubaliana na hoja kwamba msokoto wa bangi na vipisi vina kasoro kwa kuwa shahidi hakuvifafanua mahakamani".
Hiyo imekua ni habari njema kwa wema Sepetu ,kesi imeahirishwa hadi September 12.
Wema Sepetu afurahi na kusema kuwa anaona haki inatendeka na kuwashukuru mawakili wake.
tangazo hapa