WAREMBO WA BONGO MOVIE WATIA FORA KATIKA KUSHARE MABWANA

Sunday, 17 September 2017

WAREMBO WA BONGO MOVIE WATIA FORA KATIKA KUSHARE MABWANA

tangazo hapa
Kajala Kennedy mrembo wa bongo movie.
Tanzania inaongoza na kuwa na warembo wazuri  sana ambao wanajihusisha na masuala ya uigizaji filamu.Warembo hawa wamekutwa na changamoto nyingi ikiwemo kukosa wanaume wa kuwaoa na wanaobahatika kuolewa kutodumu katika ndoa zao.
Sababu zinazowafanya warembo hawa kuwa Single ni.
Uasherati,Kutaka wanaume matajiri,Kushare mabwana ni kawaida hivyo basi wanatakiwa wabadilike.
Mfano Mdogo habari zinazoongoza mtandaoni ni ile ya Kajala kumchukua bwana wa shoga  yake Jackline wolper  ambae ni msanii kutoka WCB (Harmonize).
Wolper aamua kuwashukia wanaume wa Tanzania siyo waaminifu hivyo basi ndio mana yeye huchukua time yake .Na kawashauri wanawake wasikubali kunyanyaswa kimapenzi wakiona mwanaume siyo mwaminifu wamwage.


tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top