MAAJABU YA MUNGU ,ONA HERUFI 'M' MKONONI MWAKO NA MAANA YAKE.

Wednesday, 13 September 2017

MAAJABU YA MUNGU ,ONA HERUFI 'M' MKONONI MWAKO NA MAANA YAKE.

tangazo hapa
Nini maana ya 'M' mkononi mwako.


Mungu wetu ni mwema ashukuriwe .Mungu ameumba kila kitu au kila mtu kipekee hatuna budi kumshukuru.Kila moja ana alama katika viganja vya mkono wake Leo nitaanza kuelezea M kwenye mkono inamaanisha nini?.
'M' inaweza kuwa mkono mmoja au yote miwili.

MAANA YA 'M'  MKONONI MWAKO.
1.Wenye alama ya 'M' katika mkono ni watu ambao Mungu amewajalia kutengeneza na kumiliki Mali nyingi sana katika maisha yao na kuwa watu maruufu na wenye madaraka makubwa katika jamii.
2.Ni watu wasiokata tamaa na wanapenda kujipa moyo na wanatabia nzuri na Siku zote hufanikiwa kwenye masomo,kazi etc
3.Ni watu wanaopenda sana masuala ya kusoma na kuandika na wengi wao ni waandishi wa habari ,vitabu na watangazaji.
N.B NISAIDIE KUSHARE

tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top