KIMENUKA DIOMOND AMTOSA ZARI NA KUMCHUKUA MTOTO MBICHI ALIYESHINDA BIG BROTHER 2013 DILLISH

Wednesday, 13 September 2017

KIMENUKA DIOMOND AMTOSA ZARI NA KUMCHUKUA MTOTO MBICHI ALIYESHINDA BIG BROTHER 2013 DILLISH

tangazo hapa
Diamond na Dillish.

Msanii nasibu Abdul alimaarufu Diamond Platinum inasemekana ameanza mahusiano ya mapenzi kwa Siri na mshindi wa big brother 2013,Dillish Mathew.
Wawili hao wameonekana Zanzibar wakiwa na furaha wakipata upepo wa bahari visiwani Zanzibar. Diamond bado akiwa anakabiliwa na uvumi wa kuzaa na mwanamitindo wa kimatataifa Hamisa Mobetto huku mwenyewe akikanusha.
Diamond ni msanii Mwenye mafanikio makubwa Afrika Mashariki huku akiwa na umri Mdogo.Hivyo basi diamond anasibitisha yeye ni sukari ya walembo.

tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top