tangazo hapa
25/8/2017
Nampongeza Sana Rais Wangu Magufuli, ila Namshauri Mambo Haya Muhimu
(1) ABORESHE MASLAHI YA WAFANYAKAZI HARAKA IWEZEKANAVYO
(2) AZINGATIE SHERIA NA KATIBA KATIKA UTENDAJI
Nina Imani ujumbe huu utamfikia na namuombea ulinzi imara, afya njema na mafanikio katika kazi yake nzuri.
By Jugania/JF
tangazo hapa