tangazo hapa
Afya ya Mh.Tundu Lissu yaendelea kuimarika.Mh.Tundu Lissu mbunge wa chadema Singida ambaye amepigwa risasi na watu wasiojulikana na kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.Mungu ni mwema afya yake inaendelea kuimarika baada ya kuanza kuongea kwa sauti kidogo na huku akiweza kutingisha viungo vya mwili wake hususani mikono.Hii ni hatua nzuri ,Watanzania tuendelee kumuombea kwa Mungu ili aweze kubwa fully recovery .Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina
tangazo hapa