Msimamo wa wabunge kuhusu matibabu ya Tundu Lissu

Friday, 8 September 2017

Msimamo wa wabunge kuhusu matibabu ya Tundu Lissu

tangazo hapa
Msimamo wa wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu matibabu ya Lissu


Bungeni Leo wamekubaliana kuchangia jumla ya shilingi Tsh mil 43 ambazo ni makato ya nusu posho kwa kila mbunge kwa ajili ya matibabu ya Tundu Lissu.Watanzania tuendelee kujitolea kumchangia Mbunge wetu.Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika Amin.

tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top