Habari zilizotufikia hivi punde kuhusiana na Maendeleo ya Mh.Tundu Lissu

Thursday, 7 September 2017

Habari zilizotufikia hivi punde kuhusiana na Maendeleo ya Mh.Tundu Lissu

tangazo hapa

Habari zilizotufikia hivi punde.
Mh.Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki hali yake inaendelea kuimalika.Na ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.Tuendelee kumuombea kwa hali na Mali.Mungu ibariki Tanzania ,Mungu ibariki Afrika Amina.

tangazo hapa
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top